CAR RENTAL IN DAR ES SALAAM & ARUSHA

There Is No Other Car Hire In Tanzania Like Bright Car Rental

Usi TafuteTena

Our Car Hire Services In Tanzania

Hire Safari Cars In Tanzania

Tunakodisha Magari ya utalii ya kisasa kwenda mbuga yoyote Tanzania kwa bei nafuu. Tuna madereva wazoefu na wakarimu wanaozungumza kiswahili na kingereza

Kuendeshwa Na Dereva

Kampuni Ya Kukodisha Magari Bright Car Rental Dar es salaam, tunatoa huduma bora ya kukodisha magari kwa watanzania na wageni wanaotembelea Dar es salaam na Tanzania 

Magari Kwa Matumizi Binafsi

Suluhisho lako la magari ya kukodisha Dar es salaam na kusafiri Tanzania nzima kwa ujumla iwe kwa safari ndefu au fupi madereva wetu wapo tayari kukuhudumia

V.I.P Transportation Dar es salaam

Kampuni Ya Kukodisha magari Bright ni chaguo sahihi katika kusafirisha wageni wako Muhimu iwe kwenda kwenye mikutano au matukio muhimu. Tutakupatia huduma bora yenye usiri mkubwa

Tunakodisha Magari Kwa mashirika

Tunapangilia huduma za usafiri za wafanyakazi kuanzia kuwapeleka kwenye vikao maalum hata usafiri wa kila siku makazini. Kupitia magari yetu ya kukodisha, kama vile Alphard, Coaster, Landcruiser n.k. Tutafanikisha hilo kwa weledi mkubwa

Magari Ya Kukodisha Ya Sherehe

Tunajivunia kukuletea magari ya kukodisha ya harusi yaliyo katika ubora wa hali ya juu na yakipekee. Unaweza kukodisha kuanzia magari ya harusi ya zamani mwaka 1930 hadi magari ya kifahari ya miaka ya sasa 

Vitu Gani Vinatutofautisha Na Wengine?
Family Car Rental In Dar es salaam
Linapokuja Suala La Kukodisha Usafiri Binafsi Tunamaanisha Haswaa. Tutahakikisha Familia Yako Au Wafanyakazi Wa Shirika Lako Wanasafiri Salama Na Kufika Kwa Wakati Kama Ilivyopangwa Katika Ratiba Zenu
VIP Car Rental In Dar es salaam
Magari Yetu Yana Ubora Wa Hali Ya Juu Ni Ya Kisasa Kabisa. Magari Yetu Ya Kukodisha Yana Kuja Na Teknolojia Za Kisasa Kama Vile Kiyoyozi, Friji, Tv, N.k Zitakazo fanya Safari Yako Iwe Ya Kupendeza
Madereva Wetu Ni Weledi, Wakarimu, Wanaojali Wateja na Kuheshimu Muda. Wapo Tayari Kuendesha Kwa Weledi Watahakikisha Unafika Salama, Kwa Wakati Na Umefurahia Safari Yako

Maswali Yanayoulizwa Mara Kwa Mara Kuhusu Kukodisha Magari Dar es salaam

Tembelea sera za kampuni za magari ya kukodisha ili kuweza kufahamu kampuni yenye sera nzuri za magari ya kukodisha

Wasiliana na kampuni za kukodisha magari Dar es salaam kabla ya kuwatembelea ofisini

Itakua vizuri kama hutajaribu kukodisha magari moja kwa moja kutoka uwanja wa ndege kwa huwa na bei kubwa kuliko kawaida

Soma bei za siku, wiki na mwezi kwani kukodisha magari kwa muda mrefu huwa nafuu kuliko kwa muda mfupi

Kampuni za kigeni hutoa huduma za kukodisha magari Dar es salaam lakini bila shaka huwa na bei kubwa kuliko kampuni za kitanzania. Bright Car Rental ni kampuni bora ya kitanzania inayokodisha magari kwa bei poa

  • Kagua gari hakikisha halina michubuko au mikwaruzo. Andika iwapo utaona mikwaruzo
  • Kagua gari kuhakikisha kama vifaa vyote muhimu vipo
  • Weka sawa vioo, siti na taa
  • Angalia vifaa vingine vya burudani

Umri unaoruhusiwa kukodisha gari Dar es salaam ni miaka 21

Kuendesha gari mwenyewe Dar es salaam ni salama. Tanzania Dereva hukaa upande wa kulia wa gari na huendesha gari upande wa kushoto wa barabara

Wateja Waliokodisha Magari Kwetu Wanasema

5/5
"Tuliweka nafasi ya kukodisha gari na Bright Car Rental kwa wiki 6 kuanzia Mei na Juni lakini kwa sababu ya COVID-19 hatukuweza kufanya safari yetu. Kampuni ya Bright Car Rentals ilijibu ndani ya saa 12 swali letu kuhusu kughairiwa na wameturejeshea pesa zote. Bila shaka tutafanya nao tena safari yetu itakapofanyika hatimaye!"
Car Rental In Dar Es salaam
Jamal Kareem
Tourist
" hivi majuzi tu Nilikodisha gari Jijini Dar es salaam, kwa Bright Car Rental. Ni wazoefu wa kustaajabisha sana! nilihudumiwa kwa weledi na heshima na wafanyakazi wote wa kampuni hii "
Jamal Kareem
Traveller
"Kama nilivyotarajia safari yangu ya kurejea kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ilikuwa nzuri sana. Dereva alikuwa na adabu na alifika kabla ya wakati kwa ajili ya kunichukua. Safari ilikuwa ya starehe na ya kufurahisha sana. Asante brightcarrentals.com kwa huduma hii nzuri ya kukodisha magari ni ya uhakika."
Jamal Kareem
Business Woman

Mahmoud Hashim
Mahmoud Hashim
2021-05-29
Highly Proffessional Airport Transfer In Dar es salaam Tanzania We used Bright Cars airport transfer service to get us to and from J.k Nyerere Airport to our hotel- great service- right on time and very nice drivers in comfortable Landcruiser V8 VXR. Definitely recommend.
john mlay
john mlay
2021-05-29
Wana magari mazuri ya harusi Dar es salaam Tanzania. Tulikodisha Coaster 5 zilikua nzuri na huduma nzuri kutoka kwa madereva wao. Endeleeni na kazi nzuri Bright Car Rental Dar es salaam Tanzania
Irene James
Irene James
2021-05-25
I am a long-time customer of Bright Car Hire, Dar es salaam Tanzania, from the year 2019 and I am very satisfied with the offered services. Especially I appreciate their attitude , they are responsible, reliable and can solve anything for the satisfaction of the customer. Thank you.
john muli
john muli
2021-05-25
First thing's first, buying or renting a car in Tanzania is an expensive pursuit. But if you need a car, pickup, or van then I can heartily recommend Bright Car Rental. They gave me the going rate and as long as you're sensible and take time around tuktuks and locals you'll be fine.
Khasim Abdalah
Khasim Abdalah
2021-05-25
tulifika uwanja wa ndege wa juliasi nyere na kupokelewa vyema na gari letu tulilokua tumekudisha. Tulipata huduma nzuri kutoka kwa dereva wakati wote tulipokua na gari letu tulilokodisha
Aisha Jumah
Aisha Jumah
2021-05-25
Bright car rental wanahuduma nzuri ya kukodisha magari nimekua nikiwatumia kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. Wanakodisha magari ya harusi na mengine mengi
givenlight Jesse
givenlight Jesse
2021-05-25
The best service I've ever had with car rental in dar es salaam. We rented a bus toyota coaster for our trip to Mikumi. The bus, was cleaner with very professional service. Keep it up guys
oliva Kamala
oliva Kamala
2021-05-25
Tulikodisha gari la harusi na sendoff kutoka kwa bright car rental hakika wana huduma nzuri

error: Content is protected !!